Mahojiano: The Mboni show na Linda Bezuidenhout

Samahani wapendwa mimi bado sijaitizama, nitaangalia jioni ya leo na kutoa maoni yangu baadaye.

Update: Nimetizama mahijioni, nimecheka sana. Nice show! Sidhani kama kuna mtu atakuzuia kwenda Tanzania Linda! Mie naamini upo safe!

Leave a Reply