Maisha…….!

 "Wapendeni watu wote kama mnavyojipenda nafsi zenu. Mzee Igogo asubuhi hii kakutana na rafiki yake waliyopoteana kwa siku nyingi, Bw. Mwaipuge, ni mlemavu wa fikra, anaishi popote porini ama kwenye majumba chakavu. Aliwahi kuwa mtumishi wa serikali idara ya Magereza. Watoto wangu nawasihi, muwe wapenzi na furaha kwa hao wasiyothaminika machoni kwa watu wengi, kwa kuwa kwake yeye Muumba wetu, tuko sawa.">>>> Life experience from Sir O.O Igogo     Hujafa hujaumbika! Hii dunia ya Musa  tembea pole pole eeh! Usimdharau mtu yeyote mwenye pumzi ya uhai maana hujui ya kesho ya Mungu mengi!

One thought on “Maisha…….!”

Leave a Reply