Mama na mwana: Hakika wema na fadhili zako zitanifuata siku zote za maisha yangu!

Ni kwa neema tu! Nasema ni kwa neema yake Mungu kwani akili yangu haikuwai kuwaza kuwa ipo siku kama hii! Hivyo namshukuru sana Mungu kwani ni hakika wema na fadhili zake zitanifuata siku zote za maisha yangu, nami nitadumu ndani yake! Nimeweza kuona ukuu wa Mungu kwa kufanikisha uumbaji wake! Amenibariki na rafiki wa kweli ambaye upendo wetu utadumu milele na milele!  ………Najua tunamipango mingi sana naomba Mungu azidi kutuwezesha katika kila jambo! Moja ya vitu ambavyo nasubiri kwa hamu sana ni passport ya mwanangu!! Yes! her American passport!! Ee Mwenyezi Mungu mimina baraka zako!! Yani can’t wait!! Maana tutatembe hii dunia mpaka ndege zinune  zigome kabisa kuruka ?? ……..Anyway, namshukuru Mungu kwa mbaraka  wa huyu mtoto! Naomba azidi kunilindia na kumuongoza katika kila jambo haswa kiroho, asikae mbali naye!

Leave a Reply