Manhood!

Hakuna kitu kina vutia haswa kwa wakina dada kama kuona mumeo au mwanaume anayemjua na kufata matakwa ya Mwenyezi Mungu. Mungu akubariki sana my brother Noah na familia yako yote.

Brother Noah
Brother Noah S. Manongi akitoa somo katika kanisa la waadventista Wasabato la All nations pembezoni kidogo mwa jiji la Boston Massachusetts USA.                                

 

Leave a Reply