Matatizo yanaweza kuisha na kuwa furaha ~~~ Jackline Mengi

Kwanini usononeke na kukata tamaa kwasababu ya matatizo uliyonayo leo wakati unafahamu kuwa maisha yanaweza kubadilika, matatizo yanaweza kuisha na kuwa na furaha inawezekana? Unaamini haya kwasababu tumeshaona mifano mingi ya waliopitia kwenye shida na taabu nyingi lakini ikafika wakati wakawa na furaha na ndoto zao zikatimia. Hata kwako wewe inawezekana. Mkumbushe unaempenda na unaedhani anahitaji kusikia maneno haya leo.

Leave a Reply