Matukio katika picha!

Hizi picha zimepigwa leo kwa masaa ya Africa Mashariki katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere International Conference Centre, Dar es salaam, Tanzania.  Ilikuwa ni kikao cha Wakurugenzi wa Mashirika na Taasisi za Serikali, Tanzania.  Mdogo wangu yeye ni Mwanasheria pamoja na huyo dada. Lakini wengine wote ni Wakurugenzi wa Mashirika na Taasisi mbalimbali. The Lawyer herself ?
My babysister is cute and smarter than yours ? You go our soon to be Dr. Janeth O.O Igogo ?

Leave a Reply