Matukio katika picha

Hili nitukio la harusi limetokea jana huko Tabata, Dar, Tz . Nawafahamu vizuri sana wazazi wa bwana harusi lakini sina maelezo mazuri ya kuwapa kuhusu maharusi kwani siwafahamu na picha nimetumiwa tu! Hivyo naomba niwakilishe kwa kuwapongeza maharusi....... Nawapongeza maharusi kwa kufunga pingu za maisha na nawatakia maisha mema.  Mrs  Awiti  L.C. and Ms Doreen L.C. Awiti dancing their heart off at the wedding ceremony of Wasongas son. This night of 6.5.018. Tabata Dar.
 
     Jamani hawa ni ndugu zangu kabisaaa sijikombi ?? Mrs Awiti L.C au mama Awiti ni shangazi yangu mke wa mjomba wangu Leo Awiti. Mzee Awiti ni kaka yake mama yangu mzazi tumbo moja! Hivyo Doreen Awiti  ni cousin yangu kabisaaa! Bwana harusi ni mjukuu wa Mrs Awiti L.C  na baba mzazi wa Bwana harusi ni former employee wa Utegi Tech...... si mshanipa mpaka hapo?! ?

Leave a Reply