Matukio katika picha: Jesse 11th birthday

Kheri ya siku ya kuzaliwa mwanetu Jesse! Mungu azidi kukulinda, akuongoze, na azidi kukubariku katika ukuaji wako! Ukawe mtoto mwema sana Wapendwa, naomba niseme kidogo kuhusu undugu wangu Jesse……..Bibi yake Jesse mzaa baba ni mtoto wa pili kuzaliwa kwa familia ya mama yangu (familia ya marehemu mzee Cornel Awiti); hivyo Jesse ni mpwa wangu! Siku ya tarehe January 16, 2017 Jesse alitimiza miaka kumi na moja tangu kuzaliwa kwake! Alisherekea na wazazi wake Dr. Joseph Obure, mama yake Venny Mwita, na mdogo wake Jason!  Jesse na wazazi wake wana ishi huko North Carolina, U.S.A Mama na birthday boy!  Lovely! Happy 11th birthday Jesse!

Leave a Reply