Mchele bandia (wa plastic) ndani ya Houston, Texas!

Juzi liliwaletea habari ya Samaki bandia huko London! Sasa leo nawaletea habari ya Mchele bandia ndani ya jiji la Houston, Texas. Inaogopesha kwakweli. Huyu dada anasema alinunua chakula kwa restaurant  (sina huwakika kama ni restaurant ya Waafrica au la) lakini alipoenda kuuliza baada ya tukio akaambiwa kuwa Mchele walinunua kwenye Africa store moja ambayo  ni mharufu hapa Houston (binafsi siijui hiyo store). Kitu ambacho naweza sema nikuwa kama hawa wauwaji wamefanikiwa kuingiza mchele huu Marekani basi lazima Tanzania utakuwepo wa kumwaga! Kuweni wadadisi na hivi vyakula! ………… Embu tazama hiyo video ?

Mungu atusaidie, atuhepushe na huyu shetani anayetaka kutumaliza!

Leave a Reply