“Mitihani ni sehem ya Maisha na Huletwa na Mwenyez Mungu”~~~~~Diamond

Mitihani ni sehem ya Maisha na Huletwa na Mwenyez Mungu , na Siku zote huletwa kwa sababu, na ndiomaana tumefunzwa kushukuru kwa kila jambo..... Allah nakushkuru kwa yote, Nakushkuru kwa kunifikisha Uganda na Kumaliza kila jambo salama....Naomba pia Uniongoze katika safari yangu hii ya sasa ya Kuelekea Dar es Salaam....na unitie nguvu siku ya kesho nikiwa kazini pale Leader Club... ? @mama_dangote

Leave a Reply