Mr and Mrs Mengi ni Watanzania wakwanza kupata E-passport!

Wamenoga eeh? real man knows how to wear pink ati ?? ......... Mr and Mrs Mengi walipokuwa wamekwenda kuchukua passport mpya za kieletronikia ambazo Rais Dr Magufuli alizizindua juzi! Haya yamefanyika leo majira ya hasubui saa za Africa Mashariki hivyo wamewafungulia mlango Watanzania wengine! ........... Wamependeza sanaaaaa! Haya Jacky njoeni Houston basi ?? ??

Leave a Reply