Mungu azidi kuwa nanyi, soon to be Mr and Mrs Majizzo!



Hayo ?  ni maneno yake kaka yangu RC Paul Makonda! Wow! Hongereni wote maharusi watarajiwa lakini zaidi hongera sana Lulu! Jamani! Jamani! Binadamu watakesha wakitaka kukuangusha lakini Mungu atakapoamua kukuinua hakuna anayeweza simama mbele yako! Jinsi watu alivyokuwa wakikucheka kuwa unamkosi leo hii the same people wapo busy kukupongeza! Dah! Watanzania Mungu atusaidie. Hivi kama haya si mapenzi ya kweli mtasema ni kitu gani?!! Hizi ndizo katika tabu na raha ambazo Biblia inazungumzia. Siyo kupigana mangumi na kuchinjana mapanga!! Wanaume kama Majizzo ni wanaume wachache sanaaa haswa kwa watu wa Africa!!  Ubarikiwe sana Majizzo kwa kuonyesha mfano bora haswa kwa vijana wa leo. Hongera Lulu enjoy every single moment ya maandalizi yako mpaka harusi. Make sure you got your dreamed wedding wala usiogope. Huu ndio wakati wako wa kuinuliwa juu simama kishujaa tena kwa madaha. Mungu awamiminie neema zake! ?

**Mimi na dedicate wimbo huu wa Hezekiah  Walker " God favored me" kwako Lulu** ?

Leave a Reply