“Ni ushauri wa bure chukua au niachie”

Regrann from @lemutuz_superbrand – FACTS: 

  • To you all Mamen Mwanamke anayekupenda atakupigia simu wakati wowote katika siku na ukiona hakupigii eti yupo busy sana ujue muongo HAKUPENDI
  • First date dinner out mara Mbebezz kaja na wenzake ujue hakupendi ni Muongo
  • Ukiona Mbebezz anaogopa kupiga picha na wewe na ana visingizio vingi kama naogopa mitandao babe! ujue ni Muongo anaogopa mtu wake kwako kaja kupima kama una mzigo kuliko mtu wake
  • Akikuambia hana mtu ni muongo hakuna mbebez super hapa mjini ambaye hana mtu kwako kaja kupima tu kama una mzigo kuliko mtu wake wa siku zote
  • Ukiona mbebezz anaogopa kukukaribisha ofisini kwake au hata ukienda hakutambulishi kuwa ni mtu wake ujue sio hakupendi ila ana mtu pale ofisini anayetaka kumtingisha tu kwa kukutumia wewe
  • Ukiona anaogopa kuonekana na wewe Serena Hotel au Kempisk ujue huko ndiko mtu wake anakokua sana
  • Ukionasimuyakeikiliaanakimbiapembeniujue ni mtu wake huyo
  • Ukiona mbebezz hapatikani kwenye simu yake saa za usiku ujue yupo na mtu wake
  • Ukiona Mbebezz hapatikani kuanzia Ijumaa anaanza kukutafuta tena Jumatatu ujue alikua na mtu wake amebanwa
  • Ukiona mbebez hataki kukupa namba yake ya simu au eti hana simu ujue ana mtu
  • Ukiona mbebebzzz anakuwa mkali sana akisikia umesema unatoka naye ujue hakutaki ana mtu anaogopa utamharibia
  • Now guys haya hayahitaji Mwanaume kuwa na PhD ukiona Mbebezz ana hata moja tu ya hizi dalili WACHANA NAYE atakusumbua tu mbele ya Safari UTAPAGAWA! …..ni Ushauri wa Bure Chukua au Niachie …Good Morning! – @lemutuz_superbrand – #regrann

??? nani kaibiwaaaa? It’s  a long weekend ukiona kimya ujuwe ninebanwa ???

 

Leave a Reply