“Nimeyachagua Mawe kuliko laana ya Mungu.”~~~` RC, Paul Makonda

“Mti wenye matunda ulichoka kupigwa mawe ukaamua kutokuzaa matunda lakini Yesu alipoukuta mti hauna matunda akaulaani. Nimeyachagua Mawe kuliko laana ya Mungu.”

Hayo ?ni maneno yake Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam kupitia page yake ya Instagram akiwa ameambatanisha na hiyo ? picha!………Swali la kujiuliza: Nikwanini wakazi walio wengi wa Da er salaam bado wanamkubali Paul Makonda? Je, ni mtendaji mwema?! Au anabahati ya kupendwa na watu?! You be the judge……!

Leave a Reply