“Ninagonjeka”

Leo ninamaumivu makali sana ya muscles za mgongo. Hasubuhi ya leo nilipokuwa nafanya mazoezi ya tumbo nafikiri nili pull muscles in a wrong way basi nimekuwa kama mtu niliyepigwa na electric shock jinsi maumivu yalivyokuwa makali! Nimetumia pain killers wapi! Basi jioni hii baada ya mwanangu kutoka kazini kanikuta kwenye maumivu makali mno siwezi hata kukaa wima ?? akaenda ninunulia dawa ya kuchua na pain patches za kuweka. Yani wakati ananichua nilikuwa nalia kama mtoto lakini hata akuacha ndio alizidi kunichua ??    kwakweli maumivu niliyonayo ni makali sana niombeeni ili niweze endelea na mazoezi kama kawaida ?? Nikija pima uzito week hii niwe na jibu tofauti na lawiki iliyopita ??  hilo belt navaa ili inisaidie hata kusimama ni backpain belt………….gosh! Where is my Muhaya ?? I need some intensive massage therapy on my back please you know you are my hiller and my “stabilizer” in times like this ???? njoo Muhaya wangu you know you are the only ‘brand’ am addicted to hata shemeji yangu Ruge anajua ?? Achana na hao wapika majungu na wafiti kwani hawatuwezi sisi “Taifa Kubwa” hata wifi yangu Saida Karoli anajua hilo kuwa hawatuwezi!! Mzee wa “Upako” kasema  watashindana lakini hawata shinda ????? tunemetoka mbali sisi na tutaendelea kuwepo hata dunia ipite ?? Njoo Muhaya wangu twende zetu in that ‘supreme land’ where the magic tricks happen ????? uwiwii!!! Kupendwa na mwanamke wa Kijaluo raha eeh Siunaona the stone rejected by builders has become the  cornerstone  ???…….Niombeeni nipone haraka  ?

Leave a Reply