Open_Kitchen2014: lazima ifike mahali tuelewe kuwa fadhila za watoto wetu ni baraka hatutakiwi kuwafanya watoto wetu ndio mtaji wetu

Regrann from @open_kitchen2014 - Wanawake , wasichana , wamama tunanapigana usiku na mchana , tunavumilia mengi na mengi ni siri yetu kwasababu tunataka the best kwa ajili ya watoto wetu nguvu zetu jasho letu , vyote ni kwa ajili ya watoto wetu .
Ila wamama......lazima ifike mahali tuelewe kuwa fadhila za watoto wetu ni baraka hatutakiwi kuwafanya watoto wetu ndio mtaji wetu au watoto wetu ndio mahali tulipofanya uwekezaji basi kila kitu mimi mama yako nililala nje kwasababu yako , mimi mama yako nilipigwa nikavumilia kwasababu yako , mimi mama yako niliuza mali nikusomeshe , mimi mama yako sijui nilibeba mimba nikateseka kushinda wa mama wote duniani kwa sababu yako ?????(kicheko sunna) ..kila mama na story yake ilimradi ajenge sympathy kwa mtoto wake .

.la hasha mtoto lazima umpe freedom yake wewe kama mama yes umeteseka , yes umepitia wakati mgumu ,yes umepambana usiku kucha but hiyo ndio nature ya mama ndio maana mama siku zote amebarikiwa sana so leo tusiwatese watoto wetu na kuwanyima uhuru wao furaha yao just because wewe mama unataka mtoto wako awe a certain way asome kile ambacho kilikuwa dream yako inafika mahali mpaka mama unataka mtoto wako kuoa au kuolewa na yule wewe unayemwona ndio perfect kwako mwenzangu wamama siku hizi tumegeuka kuwa manabiii pia ???? .

Tumebarikiwa kuwa wamama watoto wetu tunatakiwa kuwasomesha , na kuwaongoza katika misingi bora but watoto wetu sio vitega uchumi , watoto wetu lazima wawe na maamuzi yao hata kama ni maamuzi yasiyokufurahisha kama mzazi all we need to do ni kuwa guide na kuwaelekeza kuwa the choice has consequences hizi so yeye ataamua which way to go but not to condem or command them to do wewe mama unavyotaka au unavyotarajia 
Tunawapoteza watoto wetu simply because tunawanyima UHURU WAO MOTHERS WE MUST LEARN TO LET GO AND STOP IMPOSING SO MUCH FEAR AND SADNESS INTO OUR CHILDREN 
BECAUSE THIS AFFECTS THEM SO MUCH WANAJIONA KAMA WANADENI KUBWA SANA TOWARDS MAKING US HAPPY WHICH IS NOT RIGHT . .AS MOTHER'S WE ARE BLESSED LET'S CARRY OUR BLESSINGS IN A POSITIVE WAY .
. .. - #regrann

Leave a Reply