Picha nilizopenda siku ya leo

Screenshot_2016-09-09-08-04-34-1FB_IMG_1472436063790Msanja Mkandamizaji na mkewe wakiwa huko Dubai baada ya ibada. Nimeona Masanja amesema ibada zote ndani ya Dubai huwa zinafanywa siku ya Ijumaa! Sina huwakika na hilo kwani kuna Wasabato ambao wanaishi Dubai na wanaishi huko sijui kama na wao wana sali siku ya Ijumaa FB_IMG_1473427969984Mr and Mrs Stephen Mndalila kutoka U S.A…….. Wamependeza sana

Leave a Reply