R.I.P Leo Mapunda Mwakitalu

screenshot_2016-12-05-09-05-05-1screenshot_2016-12-05-09-09-33-1screenshot_2016-12-05-09-09-44-1

Naomba niungane na Watanzania wote waishio Marekani na nyumbani Tanzania katika kuomboleza kifo cha ndugu yetu Leo Mapunda Mwakitalu. Binafsi sikubahatika kumfahamu marehemu wala kumuona lakini pamoja na hayo naomba nitoe pole zangu za dhati kabisa kwa familia ya marehemu, ndugu wote, marafiki, jamaa, na Watanzania wote……….Bwana ametoa Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe milele zote. R.I.P Leo!

Leave a Reply