Rabierth Samrabs: Watanzania tuipende nchi yetu. Siasa si vita

Ukomavu wa Kisiasa Si Kuleta Maandamano na machafuko ya Kisiasa Katika Nchi. Nchi iliyokomaa Kisiasa huzingatia Amani na Usalama wa Raia wake. Watanzania Tuipende Nchi yetu. Siasa si vita. Siasa ni ukombozi wa Kifikra Kwa Lengo la Maendeleo ya Taifa.

Leave a Reply