Sherehe ya kuagwa kwa Rhoda Igogo!

Siku ya Jumapili ya tarehe 05/23/2021 ndio ilikuwa siku rasmi ya kuagwa kwa bibi Rhoda Alexander Igogo. Sherehe hiyo ilifanyika nyumbani kwa baba yake mlezi huko Segerea. Zifuatazo ni baadhi ya picha na video kutoka kwenye tukio hilo. Picha hazipo kwenye mpangilio rasmi nimeweka tu!

Bibi harusi mtarajiwa akiingia ukumbuni

Mr Victor na mkewe mtarajiwa!

Rhoda na mpambe wake bi. Oliver Chumo

Oliver

Baba mubwa wa Rhoda, mzee Charles Olung’a Igogo

Wazazi wa bwana harusi mtarajiwa, Mr and Mrs Ollal

Wanandoa wapya Mr and Mrs Isaka Alexander Igogo

Mama mdogo wa Rhoda, Mrs O.O Igogo akipungia wageni

Baba mkubwa wa Rhoda, mzee Charles Olung’a Igogo (kushoto) pamoja na baba mlezi mzee O.O Igogo

Dada wa bwanaharusi mtarajiwa Ms. Aphino Alexander Igogo, pamoja na mdogo wa bibi harusi mtarajiwa Blessing Igogo wakimkaribisha shemeji yao kwa furaha.

Rhoda na mama yake mzazi

Bwanaharusi mtarajiwa akiwa na bibi yake mzaa mama yake.

wageni waalikwa wakiwa na mwenyeji wao mzee O.O Igogo

Mc Rhevan katika ubora wake

Bibi harusi mtarajiwa number 2 akitoa ombi la mwisho.

Rhoda akitoa zawadi ya keki kwa Mkurugenzi Mkuu wa Utegi Technical Ltd, Mrs Margaret Mabada kwa niaba ya wafanyakazi wote wa Utegi ambapo Rhoda ameajiriwa.

Rhoda akicheze na wafanyakazi wenzake

Baba na binti yake wakicheza

Kwa picha zaidi bonyeza ????

https://RHEVANSTUDIO2021.pixieset.com/rhodasendoffpartyphotos/

Leave a Reply