Shukran zangu za dhati kwa dada Tumaini!

fb_img_1481230613329Bado nipo katika list ya watu ambao nitawashukuru siku zote! Basi dada Tumaini naye ni mmoja wao! Namshukuru sana kwa support yake na upendo wake kwangu. Namtakia furaha, amani, na afya njema haswa tukiwa tunaelekea kufunga mwaka. Namuombea awe na mwaka mpya mwema sana…………. Sikiliza mahojiano yetu kwenye link ?  (DadaTumaini) kama ulipitwa.

Leave a Reply