Siku ya mtoto wa kike duniani: Tokomeza mimba za utotoni kufikia uchumi wa viwanda

“Kinachoendelea muda huu hapa Tarime, kongamano linalohusisha Wazee wa Mila, watoto wa kike, na wadau wa Maendeleo – Siku ya mtoto wa kike 2017 ni ??… Unapitwaje jamani.. kauli mbiu ni “Tokomeza Mimba za Utotoni kufikia uchumi wa viwanda.. Wewe unawalinda vipi watoto ???? Ni jukumu letu sote ?” Joyce Kiria

Leave a Reply