Tanzia: R.I.P Hon. Beatrice Shelukindo

Taarifa ya Msiba Screenshot_2016-07-05-08-36-28-1Familia ya Bwana William H. Shelukindo, Inasikitika kutangaza kifo cha Bibi Beatrice Matumbo Shelukindo kilichotokea siku ya Jumamosi 2/7/2016 huko Arusha.

Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa marehemu 8 Galu Street,Ada Estate, Dar es salaam na huko Arusha.

Mazishi yatafanyika siku ya Jumatano Tarehe 6/07/2016 alasiri Mjini Arusha.

Bwana ametoa Bwana, ametoa Jina la Bwana lihimidiwe. Screenshot_2016-07-05-08-09-22-1Poleni sana wana familia, ndugu, jamaa, na marafiki kwa msiba huu. Bwana alito, na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe milele zote! R.I.P Beatrice Shelukindo!

Leave a Reply