The Taste of Tanzania by Miriam Kinunda

Miriam Kinunda ni author of the Taste Of Tanzania. Kitabu cha mapishi kinachoelezea kwa mahiri jinsi ya kupika  mapishi ya Kitanzania na East Africa. Kitabu kinapatika Amazon.   Kuona kipaji chake cha mapishi nenda kwa YouTube channel yake, na Instagram page yake; vyote vinapatikana kwa kuandika jina lake Miriam Kinunda.

Leave a Reply