“Treat all women with respect and you will live a happy and peaceful life” Meck Mbwana

Nimependa sana huu ujumbe ulioandikwa na Meck Mbwana founder and owner of PUKU portable power bank. Ni ujumbe mzuri sana kwa generation ya sasa ambapo wanaume wengi bado wanashindwa kujua kiini cha furaha katika jamii na familia zetu inategemea kwa asilimia zote jinsi mwanamke anavyo jisikia. Happy mama happy home, happy community! Linda na heshimu mwanamke kwani wote mmekuja hapa duniani kwa kupitia viungo vya mwili wa mwanamke!! 

Leave a Reply