“Tusiwe wepesi wa kupungukiwa na imani, tena tusichoke njiani.”~~~~ Faraja Nyalandu

Neema ya Mungu haina kipimo tena hutenda kwa wakati wake. Hakuna lililo gumu mbele za Mungu. Hakuna ajuaye kesho ila Yeye mwenye mamlaka yote. Kila aliloahidi anaenda kulifanya. Asante dada @ladivamillen, ushuhuda wako ukaseme na kila aliyekata tamaa. Tusiwe wepesi wa kupungukiwa na imani, tena tusichoke njiani. God reigns! #TearsOfJoy #BabyKairo

**ngoja nikusindikizie huu ujumbe wako na huu wimbo**
 

Leave a Reply