ULAFI NA KUTOKUWA NA KIASI

ULAFI NA KUTOKUWA NA KIASI: Ulafi na kutokuwa na kiasi ndiyo msingi wa anguko kuu la upotovu wa maadili katika ulimwengu wetu. Shetani analifahamu hili na daima huwajaribu wanaume na wanawake waendeleze ladha ya kionjo kwa gharama ya afya nahai wenyewe. Kula, kunywa na kuvaa yamefanywa kuwa lengo la maisha kwa ulimwengu. Hali ya mambo imekuwa sawa naile iliyokuwa kabla ya gharika, na hali hii ya ubadhirifu ni moja ya ushahidi bayana Wa ukaribu Wa kufungwa kwa historian ya Dunia hii.

Tunajua kwamba Bwana anakuja mapema sana. Ulimwengu unaharakisha kuwa kama ulivyokuwa katika siku za Nuhu. Umejikita kwenye kuendekeza ubinafsi. Kula na kunywa hufanywa kupita kiasi. Watu wanakunywa Vileo vyenye sumu ambayo huwafanya kuwa wehu. Kitabu cha matukio ya siku za mwisho, UK, 21.

**Nimeitowa kwa rafiki yangu Facebook**

Leave a Reply