“Unajilalisha macho na njaa kujenga ukifa watoto wanauza wanagawana na kula batazzz”–Lemutuz

Live at my MBWENI Plot...hahaha...huku tumemaliza Ukuta U know ...Mwanaume kujenga nyumba ni muhimu sana ila lazima kujipanga kwanza sio kujikosesha maisha kisa kujenga ....hahaaha...unajilalisha macho na njaa kujenga ukifa watoto wanauza wanagawana na kula batazzz ...jipange inawezekana kujenga huku unakula Maisha like me ...hamna haraka ....ok guys vipi MAJIRANI MPO? KAMA NI JIRANI YANGU HAPA MBWENI Karibu na Shule ya Komba check me out TIFAHAMIANE U KNOW!....hahahahaa ...I lov it! - le Mutuz Nation

Leave a Reply