“Usiache kumsifu kwa UKUU na UTUKUFU wake pale unapobarikiwa.” -Zamaradi Mketema

Kuna kipindi unasali sana KUOMBA, halafu kuna kipindi unasali sana KUSHUKURU, katika maana maombi yanakuwa machache na shukran zinakuwa nyingi zaidi, na hapo ndipo unapogundua MUNGU ametenda kitu kwako. kama uko kwenye position ya kushukuru endelea na usiache wala kupunguza speed, kama ulivyokazana kwa machozi mbele za MUNGU kuomba akutendee basi lia kwa machozi ya furaha na shukurani mbele zake kwa miujiza aliokuonesha, muombe MUNGU alinde hizo BARAKA zinazokufanya ushukuru, usiache kumsifu kwa UKUU na UTUKUFU wake pale unapobarikiwa.

Leave a Reply