Usitumie simu ikiwa kwenye umeme, ni hatari!….. Don’t use cellphone while charging, it is dangerous!

Binti ameungua uso baada ya simu ya mkononi kulipuka usoni mwake! Binti huyu ambaye anasadikika kuwa ni mdogo wake Mansour Yussof Himid na Shadya Karume alikuwa akitumia simu wakati ikiwa kwenye charger nahapo ndipo ilipo mlipukia na kuunguza uso wake vibaya sana kama inavyo onekana kwenye video! Jamani tahadharini kutumia simu ikiwa iko kwenye charge please! Na watoto pia musiwaruhusu kutumia simu mda mrefu zina athari mbaya please!

You may heard the warning before you thought was just a rumor and cared less! Or nobody warned you before and now it’s time to take it seriously! Using cellphone while charging it is DANGEROUS!! It may explode right on your face. See the video attached how that beautiful girl’s face is damaged from using her phone while was charging! Don’t do it!!

Leave a Reply