Vaa vizuri mpenzi wangu upendeze donge liwashike mabusu moto moto….!

“……. ????? Vaa vizuri mpenzi wangu upendeze donge liwashike mabusu moto Moto mimi na wewe mpaka kufa ?? uuusiwasikilize hao wanaotaka kuharibu mapenzi yetu …..??

Watanzania wengi wamefurahishwa na huu msamaha! Sasa imenibidi niwaze je, hukumu yao ilikuwa ya uonevu hivyo wanastahi msamaha huo? au nikosa lingine linafanywa kwa pressure ya  jamii nakwa mara nyingine siasa inachembe chembe zake humo?! Mimi binasfi, kulingana na kesi hii ilivyokuwa na maswala yote ya ushaihidi nimeshindwa kujua ni wapi nisimamie!  

Maswala ya kulawiti na ubakaji ni maswala nyeti sana, ambapo jamii inatakiwa kuwa makini sana lasivyo watu wazima na watoto wengi wataendelea kufanyiwa huu unyanyasaji bila kupata msaada wowote ule kutoka kwa jamii pamoja na kwenye vyombo vya haki! Stigmazation kwenye maswala haya bado nikubwa sana kwenye jamii yetu; hivyo watu hawapo huru kutoka hadharani na kuripoti mambo kama haya,  familia nyingi bado wanaficha mambo kama haya yakitokea kwenye familia zao! Jamii tuwe waangalifu sana kwa hili. Lakini wakati huo huo tusije hukumu watu kwa kuwapa adhabu nzito wakati hawakutenda kosa lolote! Kumbua kesi ya marehemu Michael Jackson wa hapa Marekani! Saa nyingine chuki binfsi huwa zinafanya watu wanasingizia wengine mambo kama haya ili kuwafedhehesha na kuataka kupata pesa!

Vile vile mtu akiwa amekutwa na hatia ya makosa kama hayo ni vizuri jamii na serikali ikawa na utaratibu wa kuwaangalia hawa watu na nyenendo zao zote kwa kipindi fulani. Wasiruhusiwe kukaa na watoto sehemu yoyote ile bila uangalizi wa watu wengine! Nawala wasiruhusiwe kuwa sehemu ambayo kuna watoto kama kwenye shule, sehemu za michezo n.k! Once a convicted rapist always will be! Maybe they were able to get away with it this time, lakini kama kweli hiyo ni tabia yao basi amini watafanya tena! Jamii kuweni macho! Parents beware!…….. Otherwise, hongereni kwa kupata msamaha wa Rais! Mungu ibariki ?? ?

Leave a Reply