Vazi la Michelle Obama laleta tafran’ kwa Facebook!

Mtoto wa aliyekuwa Rais wa Marekani kabla ya Donald Trump, Malia Obama asubuhi ya leo alipost picha ya mama yake akiwa vacation kwenye visiwa fulani huku akiwa amevalia vazi la ufukweni. Mama Obama alionekana kama alikuwa anapanda kwenye boat ambapo upepo ulipuliza na kuacha sehemu kubwa ya mapaja yake wazi. Kuna watu ambao hawakupendezwa na hiyo picha kuonyeshwa kwenye public, kuna wengine hawakupendezwa kwa jinsi alivyo vaa mbele ya macho ya watu wengi wameona kama hastahili kuvaa hivyo kwani ni mtu ambaye anaheshimika sana na alikuwa First Lady wa Marekani. Mmmh! Embu wee tizama picha halafu useme jinsi uonavyo; mimi sijaona ubaya wa hiyo picha kwani vazi lilikuwa sahihi na alipokuwa. Nilisha sema huko nyuma (SomaHapa) picha kama hiyo kuwekwa kwa public ni maamuzi binafsi na ujasiri wake. …… Maoni ya watu yapo kwa lugha ya English kama uwelewi basi tafuta mtu akutafsirie!

Baadhi ya maoni: 

Leave a Reply