wakati wao wakiendelea kutoa fact kuna wengine wanapiga hatua za vitendo ~~~~~ Zamaradi Mketema

Wabishi waliishi miaka mingi sana, chunguza hata katika wengi waliofanikiwa sio wenye elimu iliyopitiliza ama waliotoka kwenye familia zenye uwezo PEKEE hapana, ila ni wale waliokomaa na NDOTO ZAO haijalishi background zao ni zipi, leo hii wasomi wangapi wameachwa mbali na watu kutoka streets tu, wakati wao wakiendelea kutoa fact kuna wengine wanapiga hatua za vitendo kupigana na haya maisha na WANAFIKA, lengo ni kukupa moyo wewe uliekata tamaa ya maisha eti kwakuwa hukupata nafasi ya kusoma kutokana na uwezo, ama umetokea mtaani tu kwenye familia ya kawaida/maskini, huna connection nakadhalika, usiitumie hiyo kama excuse, nataka nikwambie INAWEZEKANA hebu taja baadhi ya waliofanikiwa KIUKWELI kutoka MITAANI hata kama hawajulikani ili kuwapa NGUVU wale waliokata tamaa na kuhisi Dunia ni ya watu fulani tu.

 

Leave a Reply