Walk for autism!

Kesho ni siku ya Autism duniani. Ni siku ua kuelimisha jamii zinazo tuzunguka juu ya ugonjwa huu, na changamoto ambazo wazazi pamoja na watoto wanazipata!……..Mwaka jana nilitoa ahadi ya kushiriki matembezi haya (Autism ) lakini kwa bahati mbaya kutoka na sababu ambazo zipo nje ya uwezo wangu sitaweza. Mungu wangu anajua kuwa ninajali na ninaomba afungue njia kwa madaktari waweze kujua chanzo cha ugonjwa huu na tiba yake! ………..Tafadhali, kama unaguswa basi shiriki matembezi haya kesho nawe utabarikiwa sana!

Leave a Reply