Wametengeneza historia kwetu!

Kama maelezo ya picha zao yanavyo someka. Hawa wajukuu wa Chief Sarungi Igogo wametengeneza historia ndani ya ukoo wetu kwa mwaka huu! Mnamo tarehe 11 mwezi wa Kumi; Maria Sarungi-Tsehai alikuwa mmoja wa watu walioalikwa kutembelea WhiteHouse ya Marekani chini ya group lijulikanalo Kama Eisenhower Fellowship ambapo walipokelewa na mwenyeji wao Rais Baraka Obama ••••••• Vile vile wiki hii siku ya tarehe 28 Dec  Janeth Igogo-Nyagilo alibahatika kumtembelea na kuzungumza kidogo na bibi yake  Rais wa Marekani-Baraka Obama huko Kogelo, Kenya ambako bibi huyo anaishi. Janeth yupo huko Kagan, Kenya kwa mapumziko ya Christmas na familia yake. Mumewe Janeth ni mzaliwa wa kijiji cha Kagan, Kenya •••••• ? Haya hongereni kwa kuweka historia hiyo kwenye ukoo wetu kwa kuwa watu wakwanza kufanya hivyo ????

Leave a Reply