Wana BCoy, Ruvu 91 wajumuika pamoja

IMG-20160702-WA0010Wana BCoy Ruvu 91 wakiwa kwenye kikao cha umoja wao kilicho fanyika Dar es salaam mwishoni mwa wiki iliyopita. Mmh! Nimesahau kuuliza majina yao ?? but kama wewe ni Alumni wa BCOY Ruvu 91 basi unaombwa kujumuika na wenzako waliopo kwenye picha IMG-20160702-WA0009Mwl. Nkuba next time please toa utambulisho basi ??……. anyway nice pictures

UPDATES:IMG-20160704-WA0003Mr Casmir Nkuba na Ms. Jacky baada ya kusalimiana IMG-20160704-WA0002Kushoto ni Mh. Erasto Tumbo, Mbunge mstaafu, baada ya kumpokea Mr Casmir alipofika kwenye kikao cha timu ndogo ya kuratibu reunion ya BCoy 91. Kikao kilifanyika Nguruko Annex , Dar, TzIMG-20160704-WA0004Wana BCoy, Ruvu 91 wakila, kunywa, na kufurahia pamoja……Kuna wengine toka Australia na U.S.A nao wapo njiani watajumuika nao katika kikao kijacho!

Leave a Reply