Wapo wakukupa umbea, lakini wakukupa pesa hakuna!

screenshot_2016-11-21-12-31-05-1??? UMBEA ni bidhaa cheap sanaaa ndiyo maana inagaiwa kama njugu! Uwezi amini kuna watu unaweza waheshimu sana kama hujakaa nao karibu yani uwaone kwa mbali tu maana ukiwavuta kwa karibu unaweza TAPIKA NYONGO ??? Wana elimu na CV za kufa mtu lakini Mwe eee! ???Wanamajungu mfano hakuna!! Wanapenda umbeya utafikiri walizaliwa kwenye mitalo! Wana elimu lakini hawajaelimika!! Sasa chuki kwa watu ndo usiseme kabisaaaa! Furaha ya wengine ni msiba kwa maisha yao hivyo kila siku iyendayo kwa Mungu wao ni vilio, misiba na matanga yasio isha!!……..Hawa watu wahivi ni wakuwahurumia tu, tuwaombee tu kwakweli kwani hakuna amani ndani ya roho zao!…… WAPO WAKUKUPA UMBEA LAKINI WAKUKUPA PESA HAKUNA!! Jitambue, jithamini, jijenge kwa kukataa umbea, kwa kukataa majungu! fb_img_1479752624163TAFADHALI: Hii picha ya jirani yangu Janeth haina huusiano wowote na story hii au nilicho andika! Nimependa uzuri na urembo wake wa ASILI ndiyo maana nimetumia!!

Leave a Reply