“Watu wanafanyaga mambo magumu halafu wanategemea matokeo yawe rahisi INASHANGAZA SANA!!”  ~~~~~ Zamaradi Mketema

                            “Watu wanafanyaga mambo magumu halafu wanategemea matokeo yawe rahisi INASHANGAZA SANA!!”  ~~~~ Zamaradi Mketema

  Dah! Ujumbe mzito huu! Bado natafakari! Lakini ni kweli kabisa kwani huwezi tengeneza uji wa vitumbua ukitegemea kupata maandazi!! Huu ujumbe umenichoma ?? moyo in a positive way!!

Leave a Reply