This wedding!!!! Rayvanny is not a joke!

Shughuli ni watu haswa kama wanajua nini kimewaleta ?? Harusi au shughuli yoyote ile inapendeza sana kama watu wote wanafuraha na kuchangamka namna hii! Sio watu wanakwenda kwenye harusi au shughuli ya mwenzio halafu unaleta nyodo nyingiiii zisizo na mpango si ungekaa kwako oo!!……. Hongereni wenye shughuli mmependeza sana na mmejua kuipendezesha mno! The wedding imenifanya nikumbuke watani zangu ?? Na huyu Ravnnay anakuja juu eeh! Napenda sana ule wimbo wake wa #NatafutaKiki…..

Leave a Reply