My weight loss journey……….!

Wapendwa wasomaji wangu, msifikirie nime bwaga “manyanga” hapana! Niliumia mguu, hivyo kwa muda wa wiki nzima nimeshindwa fanya mazoezi lakini kesho ratiba inaendelea kama kawaida!…….. hata hivyo sikuacha kuzingatia nini ninakula, hivyo mlo ulio kamilika ulikuwa unazingatiwa ? Haya safari inaendelea!

Leave a Reply