My weight loss journey…..!

Kama nilivyo waambia wiki iliyopita kuwa nitakuwa napima uzito wangu naku-share nanyi kila week. Basi leo nimepima na matokea ni kwamba bado sijaanza kupungua uzito. Labda kuanzia next week ndio nitaanza kuona matokeo. Bado nipo na weight ya LB225 ambazo ni karibia na Kg 92 hivi! Well the journey continues this is going to be my life style now. Guys, huwezi amini najisikia mwepesi, nguvu nyingi mno na very focus. Plus najisikia raha sana kwenda gym kila siku na mwanangu such a bonding moment as mwanangu kazi yake ipo very demanding hivyo muda huu wa gym ndio tuna spend sana pamoja. Sasa hivi katika list ya nyimbo zangu za mazoezi nimemuongeza #Darassa  Pale mwanzon pale kabla mazoezi hayajakolea namsikiliza yeye then zoezi likikolea na baki na Harmonize #IYOLA……..ok tukutane tena wiki ijayo. LOVE and PEACE!

Kusoma post ya nyuma bonyeza ?  MyWeightLossJourney

 

 

 

Leave a Reply