Wema Sepetu: Peace of mind is everything for me

“Siwezi Kuendelea kuishi kwenye Nyumba inayo nikosesha amani… Peace of mind is everything for me… Natangaza Rasmi kuondoka Chadema na Kurudi Nyumbani…. #ThereIsNoPlaceLikeHome… Feels good to be Back…

“Wow! Kwaniaba ya mdogo wangu kipenzi Magreth Otieno Olung’a Igogo ambaye ni mmoja wa mashabiki wakubwa wa Wema Sepetu na pia ni mwanachama muaminifu wa CCM naomba nichukue fursa hii kumkaribisha our Tanzania Sweetheart #nyumbani! CCM oyeeeeeee! Kidumu chama ???? O’Lord of Mercy!!…….Honestly, nampongeza sana Wema kwa maamuzi haya. Huwezi kuwa na amani kwenye chama ambacho Mwenyekiti wake amekutaka kimapenzi! Ndio maana hata amabavyo hujaenda kumuona uncle wako Mhe. Tundu Lissu mie sijashangaa kwani nilijua ni ngumu sana kwako kuonana na Freeman Mbowe uso kwa uso! Nafikiri it’s high time kwa wanawake kushika uongozi kwani hawa wanaume wanatuchanganyia habari tuu! Hongera sana Wema  ???  BTW, hivi mnajua jinsi gani mdogo wangu alikuwa anachukia niki mpost Zari humu zaidi ya Wema? Hahahaha! Haya Sasa nitakuwa na balance lol!

Leave a Reply