Womanhood

“If you stop chasing meaningless friendships and relationships and look after and love yourself,you will enjoy your own company while the right people find their way to you??❤️”~~~~May Charles Igogo

*****Very well said! Labda niongeze kwa kusema kuwa jinsi mtu (uwe mwanamke au mwanaume) unavyo zidi kujitambua na kujua thamani yako ule urafiki wa kama teenagers ni lazima u-cut off!! Sijui shoga yangu kutwa kuongozana kama matahira ni ujinga mtupu! If someone doesn’t add any value to you yani ukifika 33+ yani ni bora uwa drop off kwani mnapotezeana muda urafiki wenu hauna tija! Yani mimi hata rafiki anaye chukia kuona mwingine yupo happy au anafanikiwa huyo mie simtaki kabisa karibu yangu tutabaki story tu za hapa na pale tunapo kutana basi lakini ukaribu Nope! Kwani kama unachukia maendeleo na furaha ya mtu mwingine ambaye hajakukosea lolote basi hiyo nitosha kusema mimi will be next!………Hakuna kitu kizuri kama kujifunza ku-enjoy your own company kwani utakuwa na amani sana kuliko kuwa na marafiki chungumzima ambao hawakusaidii kwa lolote zaidi ya starehe!

Leave a Reply