Yes! You go Zari, we’re very proud of you!

Regrann from @zarithebosslady –

Wapendwa wangu Sina cha Kuwalipa Zaidi ya kusema ASANTENI sana kwa 4M followers.
Ninyi Ni Ma Ndugu kwangu, Mmekua Nami Bega Kwa Bega Kwenye Shida na Raha. Sasa Mnichiangieni $1 kila mtu tujenge clinic ya wanawake sehemu yoyote dar, Najua tukiipata Baba Magufuli atatupa kiwanja....?? #JustSaying
PENDA SANA NYINYI.❤
THANK YOU SO MUCH FOR 4M. 
LOVE YOU ALL? - #regrann

Yes! That's my lady! Let support our Bosslady, the real Major General! Mimi naanza kwa dola kumi ($10 ), haya baba yangu Dr John Pombe Magufuli tunaomba kiwanja hicho tena kiwe kule maeneo ya Kigamboni, au Kibada, au Mbagala ?? somewhere in Temeke District au Kigamboni please. Zari fungua hizo account watu waanze kumimina hizo pesa please! This is great! And we will call it Zarina Hassan Women Clinic ???? Jamani ni dola moja tu ($1) kwa kila mtu hatushindwi! Ila unaruhusiwa kuchangia zaidi ya hapo! Okowa maisha ya mwanamke uokoe jamii!! Mungu atubariki wote ?

Leave a Reply