Zamaradi Mketema: Asieheshimu muda wako haheshimu maisha yako.

Asieheshimu muda wako haheshimu maisha yako.
MUDA NI MAISHA, na ndiomana tunaishi kwa ratiba na deadlines hata kwenye maofisi, na hata kwenye maisha ya masomo kikawaida kuna ratiba ya kuanza na kumaliza kutokana na umri, ingekuwa kila kitu kinafanyika kwa muda mtu anaojitakia vitu vingi visingekuwa vilivyo, hivyo heshimu sana muda wako na wa wengine pia, na usiruhusu mtu autumie ndivyosivyo ama anavyotaka yeye sababu anaecheza na MUDA WAKO anacheza na MAISHA YAKO.

Leave a Reply