Ziara ya Balozi Wilson Masilingi jijini Houston,Texas

Wiki iliyopita tarehe 21 na 22 mwezi huu wa kumi, Balozi wa Tanzania nchini Marekani, na Mexico alitembelea jimbo la Houston, katika state ya Texas ili kuwafariji Watanzania waliopatwa na maafa ya mafuriko ya Hurricane Harvey mwishoni mwa mwezi wa nane!

Mh. Balozi Masilingi

Balozi pia alikutana na viongozi wa jumuiya na kukutana na wanajumuiya wote nakubadilisha mawazo, kutoa muongozo katika maswala yanayohusu Diaspora. Kwa maelezo na picha zaidi bonyeza ?? (TanzanianHoustonCommunity-THC)

 

Leave a Reply