Is baby number 2 on the way?!….if so; hongera sana Madam Rita!

Haya kuna huu ubuyu nawaletea wapenda ubuyu wenzangu ??? Niliona hii picha wiki imepita sasa, kimoyo moyo nikasema “she looks like pregnant” lakini nikadharau! Sasa juzi kinaenda kuchungulia tena Instagram page yake nikaona no update! Nikasema mbona siku hizi anapotea sana kwa social media!! basi nikaamua kusoma comments chini ya hiyo picha si ndio naona watu wengi wakimpongeza na kumsifia kuwa mimba imempendeza! 

Honestly, nimefurahi utafikiri mie ndio Madam Rita ?? huyo atakuwa mtoto wake wa pili baada ya miaka zaidi ya 20 kama ni kweli mjamzito! Isijekuwa mtu amevimbiwa maharagwe ya Mbeya sisi tunampa pongezi ?? …………anyway, Madame, please rusha basi picha nyingine tukuone mpenzi ?? Hongera sana, Mungu awe nawe ?

Leave a Reply