Chumba chako cha kulala siyo sehemu ya michezo!

Zari, my dear umeona nowadays I don't post you like I used to right? Honestly, you have disappointed so many of us!! Never in a million times  wouldn't  have ever thought you could stoop yourself so low like that?! Honestly, for what?!! Because I'm sure you are not happy right now! So for what?! Don't you see how  Diamond is abusing your love?! Playing with your feelings, disempower you every day, and literally tarnishing your brand and you think it's okay cause?! Anyway, it's your life my dear the rest of us are just "hand clappers" ??? wishing you the best!
Hayo ya Zari tumuachie Zari mwenyewe embu tuongee kuhusu mada yetu ya leo! Eti wewe unakiwekaje chumba chako cha kulala? Unaruhusu watu kuingia na kucheza kama hapo kwa Zari au una mipaka?! Kuna kitu kinaitwa "self discipline", Kama mtu hauna self discipline basi hautajua  wapi kwa kuweka mipaka yako! Hautojua wapi niseme ndio na wapi niseme hapana! Yani Mimi hapa nawaonyesheni chumba ninacho lala sasa hivi kwasababu bado sijaamia kwenye my "dreamed bed room" ?? kweli kabisa siku nikiingia kwenye hicho chumba hamta kaa muone chumba changu cha kulaka kwa social media!! Nope! Labda wale watakao nitembelea ndio watabahatika kukiona tena tuwe tumezoeana sanaaaaaaa!! Hivi mlishaona mtu Kama Madam Rita Paulsen, Oprah Winfrey, au Jacqueline Mengi wakiwaonyesha vyumba vyao wanavyo lala?! You just have to leave something to yourself! Chumba chako cha kulala nikama your private part keep it private! Labda wale wanaokuja kukutembelea ndio utawapa house tour! Soon nitakuwa kama Mrs Mengi haonyeshagi nyumba yake yote  nikwa nje  na kwenye ngazi tu! Hata jiko hajawahi onyesha ?? Nahiyo ndio inaongeza heshima na watu kujua mipaka  ya urafiki! Chumba chako is not a game room ambapo watu wanaingia bila mpangilio tena wanapanda mpaka kwenye kitanda chako! Always have a self discipline!

Leave a Reply