Fahari ya kila mzazi!

These kids!!! Wazurijeee! Nimewapenda bure! Kheri tumbo lililo wazaa, kheri maziwa walio nyonya, Mungu abariki uzao wenu! Watoto ni fahari ya kila mzazi! Mungu awalinde hawa watoto na mashetani ya hii dunia.

Leave a Reply