Faraja Nyalandu: Tanzania itajengwa na sisi wenyewe

R.C Paul Makonda katika ujenzi wa taifa
Director wa Shule Direct Mrs Faraja Nyalandu

“Tanzania itajengwa na sisi wenyewe. Watu wa kawaida lakini tuna uwezo wa kufanya vitu visivyo vya kawaida. Ordinary people doing extraordinary things. Stand in the gap. #Tanzania”

Hayo ? ni maelezo yake Mkurugenzi Mkuu wa Shule Direct kuhusiana na picha hiyo ya Muheshimiwa Paul Makonda

Leave a Reply